Rudia kuanzia juu Mimi nasemea Zhao wanaume wanaosex zen baada ya Mda anaanza visa ili akuaache na muda kashakupotezea na full kukubana blah blah anaanza kama hizo Mara mama kakataa...n.k ndo mana nasema urafiki/ mahusiano yawe na advantages
unakubali vipi kubanwa na hamna mkataba wa ndoa?
hata tulio kwenye ndoa hatubanwi sembuse nyie single
eti full kukubana lol!