Nywilla
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 379
- 349
100 itapendeza zaidiKwema wakuu,
Ninauza vitu vyangu vya ndani kama ifuatavyo:
Kabati la vyombo 4"kwa 5" mbao mninga 500,000tzs
Dining table na viti vyake 200,000tzs
Sofa la watu 5 L shape 500,000 tzs
Fridge 280,000tzs
Unaweza kulipa kwa awamu kama utachukua zaidi ya kitu kimoja.
Kwa maelewano na picha, ni pm.
Napatikana Mbezi, Dsm.