Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
Kufuatia hali ya uchumi kua ngumu ninampango wa kubadilisha fani niliyo nayo,. Kwa ufupi ninafani ya hotel,,ninaumri wa miaka 38,nataka kubadilisha fani,,nimeziangalia hizo mbili yaani kufanya setting za tv,(ukiangalia mambo ya vin'gamuzi na madish) . Uande wa pili viyoyozi na majokofu upi unalipa?yote unaweza chukua course ya miezi mitatu na ukawafundi,, pls naomba ushauri