HABARI...Tunauza mayai ya kisasa kwa bei nzuri. BEI ELEKEZI kwa sasa ni Tsh 8400/= kwa tray.(Bei huweza kushuka mpaka 6500 kulingana na kipindi husika)
Mayai yapo ya kutosha na huduma hii inapatikana kwa wakazi wa Dar es Salaam tu.
Huduma inakufikia sehemu ulipo bila malipo ya ziada (FREE DELIVERY).