French aircraft maker Toulouse relocating to Dar...REALLY?!!

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
.....Not much is being disclosed in the story, but the prospect alone of such consideration is commendable. And if there are things in TZ that I could be part of signaling thumbs up in order to expediate their implementation, this would be one of. I'm really enthralled at hearing this as i see a myriad positive aspects in the offing....

Source link: IppMedia.com

SteveD.
 
If they do open a plant in Tanzania im keen to see who the local shareholders are!! yasije yakawa yale yale....im sure some familiar names will pop up...(maisha bora kwa kila mtanzania?? dont think so!!)
 
Wataimport vipi parts zao wakati bandari yetu imejaa uozo mtupu. Hizi ni ndoto za abunuasi. It will never happen. Wakishajaribu kufanya feasibility study watakaa kimyaaaaaaaa.
 
Local Investor atakuwa Shirima ambaye ni mfanyabiashara na si mfisadi.
 
Hawa jamaa walikuwa na scandal gani hivi katribuni tena?

Maana watu tumekuwa so jumpy lazima tuwe skeptics kwanza.
 
French aircraft maker Toulouse relocating to Dar

Wana relocate kutoka wapi? Wanaacha wapi kutengeneza hizo ndege ili wahamie Dar es Salaam? Mimi na wasiwasi kuwa hii ni PR stunt tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…