nilijua tu. Baada tu ya kuhama stand biashara imedorola na fremu zinashtla bei kwa kasi.
Frem zinapangishwa mwenge kwa sh laki mbili kwa mwezi .kwa anaehitaji anipm.
Jodi inalipwa kwa interval gn???
Ndio bei yake hata kabla kituo hakijahama
Ndio bei yake hata kabla kituo hakijahama
kakwmbia nani ww,pal huna milioni 1 na nusu nenda kwenu matombo kalime ww
Frem zinapangishwa mwenge kwa sh laki mbili kwa mwezi .kwa anaehitaji anipm.
Mwenge ipi fremu laki mbili?au unamaanisha mwenge mlalakuwa kujana?mwenge frem ni milioni na kuendelea usidanganye umma
Naona watu hamuamini ila huo ndio ukweli na nina frem yangu pale nalipa hiyo hiyo laki mbili kwa mwenzi.
Duhh JF Noma,mmembana jamaa hajarudi.