#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

Chahali huna tofauti na maiti , huna unachokipigania ,huna faida hata kwa shetani , kwa kweli ni hasara kubwa sana kwa wazazi wako
 
Mnafiki mkubwa ni nyie mbwa mliomtelekeza Mbowe. At least mie naweza kutoa excuse ya "najipendekeza kwa Jiwe kwa sababu ya njaa zangu." Do you have any excuse ya nyie kumtelekeza Mbowe na Matiko?
Mkuu kumbe na wewe una lugha kali namna hii! Rudi kwenye lugha za kistaarabu hata kama umekasirika unaharibu haiba yako namna hiyo. Hujasoma Mithali 26:4?!
 
Huyu jamaa snitchhh
Alafu naona sahv anajipendekeza Aweze arudi naona kachoka kubeba mabox hko

Ova
 
Huyo anatumika siku hizi ni wakumpuuza. Ilikuwa njaa watu wakafika bei. Hana tofauti na wale....
 

Na Mange nae amehongwa usd 350 ,000 na Lugumi sio?
 
Wewe kama unenunuliwa au una chuki zako binafsi,kaa kushoto.

Huwezi kuja na habarI za kukejeli hapa mara kwa mara alafu wakatI huo huo unajifanya unaguswa na manyanyaso wanayopewa wapinzani.

Mnafiki mkubwa!!
Aje basi bongo kama anaweza.....
Ndomana kule walimtema maana kigeugeu
Naona kuona rais anafanya teuzi na yeye anataka jaribu bahati yake kachoka kubeba box hko

Ova
 
Wewe kama unenunuliwa au una chuki zako binafsi,kaa kushoto.

Huwezi kuja na habarI za kukejeli hapa mara kwa mara alafu wakatI huo huo unajifanya unaguswa na manyanyaso wanayopewa wapinzani.

Mnafiki mkubwa!!

Kejeli au nafsi inakusuta kwa sababu mmemtelekeza Mbowe? Na bora mie mnafiki ninayediriki kusema kwa Kejeli kuliko mnafiki wewe uliyekaa kimya.

Hivi kuna tofauti gani kati ya udikteta wako na huo wa Jiwe mnaolalamikia?

Kwa taarifa yako, Mbowe is my good friend. Tunafahamiana. Does he even know you mganganjaa?
 
Andika kwa kutumia aidha Kingereza ama Kiswahili. Vinginevyo ujumbe wako hauna uzito kihivyo kiuweledi. Ni kama hoja ya mlevi wa kawaida akiwa pub.
Achana na huyo jamaa.Mtu unaguswa na manyanyaso ya wapinz Njoo huku upambane tukuone na sio kujificha huko Ulaya.
 
Athari ya manyanyaso na ukandamizaji unaoendelea yataonekana sio kwa hastags au maneno mitandaoni. Achana na mdudu asiyejulikana mbele yake wapi na nyuma yake wapi. Tumeshamjua
Nafsi zinawasuta. Mmemtelekeza Mbowe kisa Membe. Yaleyale ya Dokta Slaa kwa Lowassa.

Halafu nyie matusi jadi yenu. Mlimtukana Dkt Slaa sembuse sie tunaowakumbusha tu kuhusu kadhia ya Mbowe na Matiko?
 
walikuwa wanatafuta kiki kwa kuvunja sheria, na kama wangeachiwa wangejitapa kuwa serikali inawaogopa na sasa wanashighuriwa wanaanza kulalama na wanachama wao wameshawastukia kuwa ni 'wasanii' na ndio maana wameamua kukaa kimya.
 
Vyuma vilivyobana huko Tz, si ajabu nawe watamani ungekuwa mkimbizi japo South Sudan kama sio Somalia
 
Mnafiki mkubwa ni nyie mbwa mliomtelekeza Mbowe. At least mie naweza kutoa excuse ya "najipendekeza kwa Jiwe kwa sababu ya njaa zangu." Do you have any excuse ya nyie kumtelekeza Mbowe na Matiko?
Huna lolote!!!Hoja ya msingi njia ya kupambana na jiwe!!!Silence mean something!!
 
Na sio ushirikiano tu, bali pia kasumba ileile tunayolaumu kuhusu CCM: Ukikosoa tu unakuwa umenunua ugomvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…