Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 158
+Yafuyatayo ni Mfanikio ya Freeman Aikaeli Mbowe ndani ya Chadema, kuanzia 2005 alipoombwa na wazee wa chama kugombea nafasi hiyo.
1.Kukitoa chama kutoka wabunge wanne 2000-2005,mpaka wabunge 23 wa kuchaguliwa na madiwani zaidi ya 300, na kukiwezesha chama chini ya uongozi wake kuongoza halmashauri mbalimbali kama karatu,moshi,tarime na nk... siku zote naamini chama chochote cha upinzani bila ya kuwa na hata mwakilishi serikilini kama diwani,mbunge hata mwenyekiti wa mtaa hicho chama hakipo imara.
2.Kujenga safu nzuri ya uongozi..,mimi naamini kiongozi mzuri hawezi kufanikiwa bila kuwa na safu makini,..kipindi Freeaman Mbowe alipokuwa mwenyekiti alipendekeza Dk.Wilbroad Slaa kuwa katibu mkuu, Zitto kabwe kuwa naibu katibu mkuu na vile vile Mbowe aliuunda safu nzuri ya vijana chini ya mnyika, na safu mbali mbali ya makada waliokijenga chama kama benson kigaila,anthony komu,mtelemw,Tundu lissu... ambapo namfannaisha na kocha wa mpira anayefanya usajili wa wachezaji wazuri
3.Freeman Mbowe ametoa mchango mkubwa katika kupika,kuwajenga na kulea vijana ambao wameleta mchango mkubwa kwa chadema na hata kwa taifa letu hili..,
+Huwezi kumtaja zitto kabwe katika maisha yake bila mbowe, kwanzia kumsadia kifedha katika masomo kipindi zitto
Anasoma chuo udsm,kujemjenga kisiasa na hata kumsadia kushinda ubunge 2005.
+Na pia vijana mbali mbali mfano mnyika,mdee,Regia mtema, na nk
4.Freeman amekuwa mchango mkubwa sana kwa chadema kwa hali na mali na hata kusacrifice biashara zake, mfano mzuri alikipa chama zaidi ya milliono 400. wakati wa kampeni kipindi hicho chama kikiwa kinapata ruzuku kidogo na hata kuwezesha kukomboa majimbo kama karatu na moshi mjini, na nani hatasau 2005 kule karatu jinsi gani Mbowe alivyorisk maisha yake wakati CCM waliokuwa wakimfanyia faulo Dk.Slaa
6.Freeman mbowe ameweza kuanzisha operesheni na vugu vugu mbali mbali hasa operesheni sangara iliojenga chama kanda ya ziwa, m4c daima na nyingine mbali mbali ambazo zina mchango mkubwa kwa chama. na kuasisi matumizi ya helikopta yaliyokuwa yakiwapa mshike mshike CCM
Haya ni baadahi ya mafanikio tu..,yapo mengi na moja ikiwemo kuasisi chadema's swaga uvaaji wa kombat,bendera mpya ya chadema...,
Sasa tukimaliza kwa Mbowe, tuje kwa ndugu yetu Kansa Mbarouk.
Haya ndo mafanikio ya Kansa ndani ya chadema.
1.Amekuwa Mwenyekiti wa Chadema-mkoa(Tabora) kwa muda mrefu..,huku chama kikiwa hakina hata mbunge mmoja,mwenyekiti wa serikali hata mmoja huku kikiwa na madiwani wawili tu pale igunga.
2.Amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujenga mtandao wa Zitto Kabwe kula tabora ambao ulikuwa unabomoa chama. mimi naami ziku zote kiongozi ni kosa kuwa sana kutumika kimaslahi na kuhamasisha mtandao.
============
Kwa kusoma manifesto na strategy za mgombea huyu ni wazi hana mpinzani kwa hoja na sera. Ni wazi kama atapewa jukumu la kuiongoza CHADEMA ataitranform na itakua mwisho wa deserters ambao malalamiko yao ni kuwa viongozi wa juu wamekosa vision.
Siku zote kiongozi kipimo kikubwa cha kiongozi ni utekelezaji na sio ahadi hewa, strategies za mafanikio na sio na impossible strategies.,siku zote results ndo kipimo sahihi za kiongozi..,
1.Kukitoa chama kutoka wabunge wanne 2000-2005,mpaka wabunge 23 wa kuchaguliwa na madiwani zaidi ya 300, na kukiwezesha chama chini ya uongozi wake kuongoza halmashauri mbalimbali kama karatu,moshi,tarime na nk... siku zote naamini chama chochote cha upinzani bila ya kuwa na hata mwakilishi serikilini kama diwani,mbunge hata mwenyekiti wa mtaa hicho chama hakipo imara.
2.Kujenga safu nzuri ya uongozi..,mimi naamini kiongozi mzuri hawezi kufanikiwa bila kuwa na safu makini,..kipindi Freeaman Mbowe alipokuwa mwenyekiti alipendekeza Dk.Wilbroad Slaa kuwa katibu mkuu, Zitto kabwe kuwa naibu katibu mkuu na vile vile Mbowe aliuunda safu nzuri ya vijana chini ya mnyika, na safu mbali mbali ya makada waliokijenga chama kama benson kigaila,anthony komu,mtelemw,Tundu lissu... ambapo namfannaisha na kocha wa mpira anayefanya usajili wa wachezaji wazuri
3.Freeman Mbowe ametoa mchango mkubwa katika kupika,kuwajenga na kulea vijana ambao wameleta mchango mkubwa kwa chadema na hata kwa taifa letu hili..,
+Huwezi kumtaja zitto kabwe katika maisha yake bila mbowe, kwanzia kumsadia kifedha katika masomo kipindi zitto
Anasoma chuo udsm,kujemjenga kisiasa na hata kumsadia kushinda ubunge 2005.
+Na pia vijana mbali mbali mfano mnyika,mdee,Regia mtema, na nk
4.Freeman amekuwa mchango mkubwa sana kwa chadema kwa hali na mali na hata kusacrifice biashara zake, mfano mzuri alikipa chama zaidi ya milliono 400. wakati wa kampeni kipindi hicho chama kikiwa kinapata ruzuku kidogo na hata kuwezesha kukomboa majimbo kama karatu na moshi mjini, na nani hatasau 2005 kule karatu jinsi gani Mbowe alivyorisk maisha yake wakati CCM waliokuwa wakimfanyia faulo Dk.Slaa
6.Freeman mbowe ameweza kuanzisha operesheni na vugu vugu mbali mbali hasa operesheni sangara iliojenga chama kanda ya ziwa, m4c daima na nyingine mbali mbali ambazo zina mchango mkubwa kwa chama. na kuasisi matumizi ya helikopta yaliyokuwa yakiwapa mshike mshike CCM
Haya ni baadahi ya mafanikio tu..,yapo mengi na moja ikiwemo kuasisi chadema's swaga uvaaji wa kombat,bendera mpya ya chadema...,
Sasa tukimaliza kwa Mbowe, tuje kwa ndugu yetu Kansa Mbarouk.
Haya ndo mafanikio ya Kansa ndani ya chadema.
1.Amekuwa Mwenyekiti wa Chadema-mkoa(Tabora) kwa muda mrefu..,huku chama kikiwa hakina hata mbunge mmoja,mwenyekiti wa serikali hata mmoja huku kikiwa na madiwani wawili tu pale igunga.
2.Amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujenga mtandao wa Zitto Kabwe kula tabora ambao ulikuwa unabomoa chama. mimi naami ziku zote kiongozi ni kosa kuwa sana kutumika kimaslahi na kuhamasisha mtandao.
============
Kwa kusoma manifesto na strategy za mgombea huyu ni wazi hana mpinzani kwa hoja na sera. Ni wazi kama atapewa jukumu la kuiongoza CHADEMA ataitranform na itakua mwisho wa deserters ambao malalamiko yao ni kuwa viongozi wa juu wamekosa vision.
Siku zote kiongozi kipimo kikubwa cha kiongozi ni utekelezaji na sio ahadi hewa, strategies za mafanikio na sio na impossible strategies.,siku zote results ndo kipimo sahihi za kiongozi..,