Habari ndiyo hiyo. Hakika Mungu akiamua kukubariki hakuna atakayezuia. CHADEMA JUUUUUU. Tatizo CCM waliimba kuwa wamezaliwa kushinda, sasa matokeo haya yanafundisha kuwa cheo ni dhamana.
Bigup sana Freeman. Mungu akabariki mipango yote mema kwa ajili ya CHADEMA na jimbo la Hai.