Wanajamvi,<br />
<br />
Kesho mwenyekiti taifa chadema Kamanda Mbowe atasimama mahakamani kesho mjini Arusha,hii ni kesi iliyofunguliwa na waliokuwa madiwani,<br />
Mshitakiwa wa kwanza ni Chadema na Mbowe ni mshitakiwa wa pili<br />
<br />
Tunawaomba wanachama wote kujitokeza kwa wingi hiyo kesho kusikiliza mwendelezo wa kesi hii