Jamani, CHADEMA wamedhamiria kuliokoa taifa. Mbowe sasa hivi anawasilisha na kudadafua UFISADI balaa ndani ya uongozi wa maeneo mbalimbali ya serikali ya CCM
Hatuna haja yakutumia mikaratasi kibao tunajaza uchafu tu. Híi inasaidia pia kubana matumizi. Kila mmoja amiliki ccm bwana wanatupotezea muda sana. Peoples power