johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,972
Viongozi wengi waliopita katika mikono ya Mbowe katika njia zao za kutafuta mafanikio ya kisiasa wamedumu katika siasa hadi sasa bila kujali wako chama gani!
Wahenga tunajua vijana wengi waliokomaa na CCM walivyopotea siasani, leo yuko wapi Sadifa?, yuko wapi Nchimbi? yuko wapi Mwambeleko? Yuko wapi Malisa? nk....nk!
Haya waangalie sasa vijana wa Freeman Mbowe, Waitara, Heche, Matiko, Mdee, Bulaya, Katambi, Lisu, Lema, Prof Kitila, Lusinde kibajaji, Mollel, Gekui, Kafulila, Zitto Kabwe Shonza, Salumu Mwalimu na kadhalika, na kadhalika.
Itoshe tu kusema Freeman Mbowe ana kibali.
Mungu ni mwema wakati wote!
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Wahenga tunajua vijana wengi waliokomaa na CCM walivyopotea siasani, leo yuko wapi Sadifa?, yuko wapi Nchimbi? yuko wapi Mwambeleko? Yuko wapi Malisa? nk....nk!
Haya waangalie sasa vijana wa Freeman Mbowe, Waitara, Heche, Matiko, Mdee, Bulaya, Katambi, Lisu, Lema, Prof Kitila, Lusinde kibajaji, Mollel, Gekui, Kafulila, Zitto Kabwe Shonza, Salumu Mwalimu na kadhalika, na kadhalika.
Itoshe tu kusema Freeman Mbowe ana kibali.
Mungu ni mwema wakati wote!
Nawatakia Dominica yenye baraka.