FreeDOS Operating system Install CD and Source code

benjamini org

Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
41
Reaction score
6
Jaman CD hii inakazi gani mhimu katika computer
Free DOS. operating system install CD and source code
 
mkuu enzi hizo kabla ya hizi windows za kisasa kulikuwa na hio DOS,



hivyo ukiwa na hio freeDOS utaweza run programs za kizamani za MS-DOS na vigame vya zamanii sana.

ila kwanini unaikuta kwenye pc?

laptop zilikuwa zinakuja na windows, hivyo unavyonunua laptop unanunua pia windows, watu wakawa wanalalamika wengine hawatumii windows, ndio.maana kuna pc zinakuja na DOS then unaeka os unayotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…