Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,106 Reaction score 3,027 Sep 27, 2025 #1 Mungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi. Audui yetu ameanza kusalenda
Mungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi. Audui yetu ameanza kusalenda
Doyi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2011 Posts 1,783 Reaction score 2,207 Sep 27, 2025 #2 Kipi kimetokea
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 13,272 Reaction score 31,850 Sep 27, 2025 #3 October 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana. Mungu Ibariki Tanzania.
Mpetde JF-Expert Member Joined Sep 5, 2022 Posts 5,084 Reaction score 8,346 Sep 27, 2025 #4 magnifico said: October 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana. Mungu Ibariki Tanzania. Click to expand... Nini kimetokea?
magnifico said: October 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana. Mungu Ibariki Tanzania. Click to expand... Nini kimetokea?
Lwiva JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 21,117 Reaction score 29,673 Sep 27, 2025 #5 Gabeji said: Mungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi. Audui yetu ameanza kusalenda Click to expand... Wale wavaa kobazi wanao jipendekeza katika kila jema wakidai ni wao...tunataka kuwaona wakipambania taifa siyo kubinua matako tu kuwa walipigania uhuru kuliko wengine...wakati hatuwaoni kwenye kupigania haki uhuru , utaifa ,uzalendo,wala kupigania damu ya wazalendo inayo mwangwa na ROSTAM AZIZI ZIZI,ABDUL NA SA100.... adriz The Consigliere FaizaFoxy Bwana Utam Jagina Mufti kuku The Infinity The Icebreaker Al-mukheef Covax Malaria 2 THE BIG SHOW Tlaatlaah
Gabeji said: Mungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi. Audui yetu ameanza kusalenda Click to expand... Wale wavaa kobazi wanao jipendekeza katika kila jema wakidai ni wao...tunataka kuwaona wakipambania taifa siyo kubinua matako tu kuwa walipigania uhuru kuliko wengine...wakati hatuwaoni kwenye kupigania haki uhuru , utaifa ,uzalendo,wala kupigania damu ya wazalendo inayo mwangwa na ROSTAM AZIZI ZIZI,ABDUL NA SA100.... adriz The Consigliere FaizaFoxy Bwana Utam Jagina Mufti kuku The Infinity The Icebreaker Al-mukheef Covax Malaria 2 THE BIG SHOW Tlaatlaah
Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 11,925 Reaction score 36,840 Sep 27, 2025 #6 Bila kafara hakuna freedom
Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,106 Reaction score 3,027 Sep 27, 2025 Thread starter #7 Siku zinahesabika mkuu, uchafu wote utatolewa
Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,106 Reaction score 3,027 Sep 27, 2025 Thread starter #8 Red black said: Bila kafara hakuna freedom Click to expand... Nguvu ya uma ni kubwa kuliko,
Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,106 Reaction score 3,027 Sep 27, 2025 Thread starter #9 Mungu anaenda kufanya jambo amezing
canular JF-Expert Member Joined Jan 7, 2018 Posts 1,068 Reaction score 1,268 Sep 27, 2025 #10 Gabeji said: Mungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi. Audui yetu ameanza kusalenda Click to expand... tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamane
Gabeji said: Mungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi. Audui yetu ameanza kusalenda Click to expand... tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamane
nakwede97 JF-Expert Member Joined Aug 9, 2021 Posts 2,571 Reaction score 8,107 Sep 27, 2025 #11 Mi naona maneno mengi yapo kwenye mitandao vijana ni waoga uthubutu upo kwenye midomo
K KERATO MOMBAA JF-Expert Member Joined Feb 4, 2025 Posts 3,428 Reaction score 4,401 Sep 27, 2025 #12 Hv mnadhani jwtz ni redbrigade ya chadomo eti! Kwamba kila kamati kuu ya maudenda ikisema leo finya huyu, wanafinya eti?
Hv mnadhani jwtz ni redbrigade ya chadomo eti! Kwamba kila kamati kuu ya maudenda ikisema leo finya huyu, wanafinya eti?
Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,106 Reaction score 3,027 Sep 27, 2025 Thread starter #13 canular said: tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamane Click to expand... Kabisa
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,502 Reaction score 12,800 Sep 27, 2025 #14 Naomba nikulekebishe kidogo, sema kuelekea nchi ya ahadi siyo kurudisha kwani ilikua yenu?, ilikua ya wazee wazungu wakaiba wakampatia ndugu yao ccm na saa inakalibia uhuru kamili wa Watz wote.
Naomba nikulekebishe kidogo, sema kuelekea nchi ya ahadi siyo kurudisha kwani ilikua yenu?, ilikua ya wazee wazungu wakaiba wakampatia ndugu yao ccm na saa inakalibia uhuru kamili wa Watz wote.
al1 JF-Expert Member Joined Mar 2, 2024 Posts 817 Reaction score 1,396 Sep 27, 2025 #15 Tatizo linaanza Kwa wale viongozi wa kubwa wa usalama ambao tuna matumaini nao, na wenyewe ni mafisadi mapapa Sasa sijui tutakuwa wageni wa nani.
Tatizo linaanza Kwa wale viongozi wa kubwa wa usalama ambao tuna matumaini nao, na wenyewe ni mafisadi mapapa Sasa sijui tutakuwa wageni wa nani.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,196 Reaction score 184,910 Sep 27, 2025 #16 Muda huongea... Cc: Mahondaw
Mpetde JF-Expert Member Joined Sep 5, 2022 Posts 5,084 Reaction score 8,346 Sep 28, 2025 #17 Bado siku 1 tu imebakia watu waingie barabarani
Magonjwa Mtambuka JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 33,864 Reaction score 32,645 Sep 28, 2025 #18 canular said: tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamane Click to expand... Toka wewe, ustuambie eti tutoke. Tuende wapi? Tuna mambo mengine ya kufanya🤣😂😎😁 Cc: Mimi Wewe Yule
canular said: tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamane Click to expand... Toka wewe, ustuambie eti tutoke. Tuende wapi? Tuna mambo mengine ya kufanya🤣😂😎😁 Cc: Mimi Wewe Yule
Ngurukia JF-Expert Member Joined Feb 25, 2023 Posts 5,942 Reaction score 22,250 Sep 28, 2025 #19 magnifico said: October 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana. Mungu Ibariki Tanzania. Click to expand... Kwa mamilioni anayopewa mkuu wa majeshi, sahau hilo jeshi kusaidia chochote
magnifico said: October 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana. Mungu Ibariki Tanzania. Click to expand... Kwa mamilioni anayopewa mkuu wa majeshi, sahau hilo jeshi kusaidia chochote
D Dr wa Manesi JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 4,413 Reaction score 3,334 Sep 28, 2025 #20 Akili za chadema bwana🤣🤣🤣🤣