Nini kimetokea?October 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana.
Mungu Ibariki Tanzania.
Wale wavaa kobazi wanao jipendekeza katika kila jema wakidai ni wao...tunataka kuwaona wakipambania taifa siyo kubinua matako tu kuwa walipigania uhuru kuliko wengine...wakati hatuwaoni kwenye kupigania haki uhuru , utaifa ,uzalendo,wala kupigania damu ya wazalendo inayo mwangwa na ROSTAM AZIZIMungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi.
Audui yetu ameanza kusalenda
tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamaneMungu mwema jamani, ameanza kujibu maombi ya watanzania, juu ya kurudisha nchi yetu katika mikono salama ya wananchi.
Audui yetu ameanza kusalenda
Toka wewe, ustuambie eti tutoke. Tuende wapi? Tuna mambo mengine ya kufanya🤣😂😎😁tutoke kwa wingi 29/10/2025 tukaandamane
Kwa mamilioni anayopewa mkuu wa majeshi, sahau hilo jeshi kusaidia chochoteOctober 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana.
Mungu Ibariki Tanzania.