C cyruss Senior Member Jan 13, 2012 196 40 Apr 1, 2012 #1 Waadau nahitaji line ya tigo-free internet chapchap kwa mwenye nayo or anayemjua mwenye nayo
Paje JF-Expert Member Apr 24, 2010 1,185 455 Apr 1, 2012 #3 nilidhani unafanya april fool. kumbe upo serious kaka.
Zasasule JF-Expert Member Aug 12, 2009 1,001 103 Apr 2, 2012 #4 if its not about april fool,, then anaweza kuwa mfanya kazi wa tigo huyoo!! So anafanya checking hapoo kama still line zao zina operate for freee!!!
if its not about april fool,, then anaweza kuwa mfanya kazi wa tigo huyoo!! So anafanya checking hapoo kama still line zao zina operate for freee!!!
BAOSITA JF-Expert Member Nov 2, 2011 368 188 Apr 2, 2012 #5 Huyo jamaa hatumjui kwenye hili jukwaa,ukute mfanyakazi wa Tigo! ---Believdat---
C cc_africa Senior Member May 30, 2010 121 2 Apr 2, 2012 #6 Nenda tigo wambie shida yako watakupa hyo line.
C cyruss Senior Member Jan 13, 2012 196 40 Apr 2, 2012 Thread starter #7 Acheni -ve assumption wakuu, mwenye line hiyo ani pm namba yake mi nimtampigia tufanye biashara
Techintz Member Mar 7, 2012 97 33 Apr 2, 2012 #8 cyruss said: Acheni -ve assumption wakuu, mwenye line hiyo ani pm namba yake mi nimtampigia tufanye biashara Click to expand... hohohohohohoho MKAMATENI UYOOOOOOOOOOOOOOO!
cyruss said: Acheni -ve assumption wakuu, mwenye line hiyo ani pm namba yake mi nimtampigia tufanye biashara Click to expand... hohohohohohoho MKAMATENI UYOOOOOOOOOOOOOOO!
S Solomon Balige Member Apr 9, 2012 5 0 Apr 11, 2012 #9 huyo alikuwa ana uza line Za internet ametuzingua line yami tumetima wiki moja tuuuuuuuuuuuuuu imeshakata yani ametuonea sanaa
huyo alikuwa ana uza line Za internet ametuzingua line yami tumetima wiki moja tuuuuuuuuuuuuuu imeshakata yani ametuonea sanaa