Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mh. Fredrick Sumaye "wako wanaosema mimi nataka niwe mwenyekiti wa chama. Nina miaka mitatu kwenye chama hiki siwezi kuwa mwenyekiti na siwezi kuvaa viatu vya Mh. Freeman Mbowe
Noops!!! You just fucked up the missed point!Chama kitoke kwa Dj kwenda kwa mr ziro?
Hizi habari za mbowe na umwenyekiti wake nadhani zingetosha kuzizungumzia maana chadema ndio wenye maamzi nani anafaa wapiMh. Fredrick Sumaye "wako wanaosema mimi nataka niwe mwenyekiti wa chama. Nina miaka mitatu kwenye chama hiki siwezi kuwa mwenyekiti na siwezi kuvaa viatu vya Mh. Freeman Mbowe
anajijua kua kazi yake ikiisha atarudi tu ccm,muda si mrefuMh. Fredrick Sumaye "wako wanaosema mimi nataka niwe mwenyekiti wa chama. Nina miaka mitatu kwenye chama hiki siwezi kuwa mwenyekiti na siwezi kuvaa viatu vya Mh. Freeman Mbowe
hahhahaha kweli uhuru wa kuweza kutetea mafisadi na kuwasafisha.. wanaulilia sana uhuru huo ili wapige mafweza vizuriMbowe anawanyima usingizi ma ccm na hatoki mpaka uhuru upatikane
mkuu ruzuku inakuhusu nini wakati sio chama chako? Mbona malaika jiwe haulizwi kuhusu ruzuku? Sijui sumaye angesema anaweza kuvaa hata hio vest vipi vinubi, mngevipigaje?Hata kama hawezi kuvaa vesti yake nini viatu haituhusu, cha muhimu ruzuku yetu arudishe!
CCM mbowe anawwpeleka putaHata kama hawezi kuvaa vesti yake nini viatu haituhusu, cha muhimu ruzuku yetu arudishe!
Huyo ni Mr. Zero ni kweli hawezi kuvaa viatu vya DJ Mbowe!!Mh. Fredrick Sumaye "wako wanaosema mimi nataka niwe mwenyekiti wa chama. Nina miaka mitatu kwenye chama hiki siwezi kuwa mwenyekiti na siwezi kuvaa viatu vya Mh. Freeman Mbowe
Chama kitoke kwa Dj kwenda kwa mr ziro?
Airudishe CCM? au nimekuelewa vibaya mkuu.Hata kama hawezi kuvaa vesti yake nini viatu haituhusu, cha muhimu ruzuku yetu arudishe!