Yule askari polisi aliyekula njama na hakimu wakampiga mvua sijui watakuwa wanajiskiaje. Anyway, kushinda kwa rufaa ni ishara kuwa adhabu haikuwa proportional na kosa. Wataalam wajifunze kutenda kazi kwa kutumia utaalam wao na sio mihemko au visasi.
Ndio maana kuna rufaa ili kurekebisha makosa. Hata ukitoa rushwa jamaa anakuridhisha, halafu anajua aliyeumia akienda kwenye rufaa anashinda. Lakini imemtoka mikononi mwake aliyehukumu na kuchukua kitu kidogo.
Jela hata ufungwr siku moja ni adhabu tosha.
Taswira n hadhi yake imepigwa chini