Salaam wadau.
kuna frame zinapangishwa zimebaki mbili nyumba ipo KARIAKOO karibu na soko. maduka ni makubwa na yanafaa kwa ajili ya biashara kama ya SPARE za magari au pikipiki, Boutique, dula kubwa la chakula, na biashara zingine zinazoendana na hizo.
kodi kwa mwezi ni milioni moja (1,000,000) tu na malipo ni kwa mwaka mzima.
pia nyumba hiyo hiyo ina store au wengine wanaita magodown 3 na kila moja inapangishwa kwa laki 7 (700,000) tu kwa mwezi pia malipo ni kwa mwaka mzima.
nikipata muda nitaipiga picha kama kutakuwa na umuhimu huo.
yoyote aliye interested anaweza kunipata katika
0713 744 144 - abdul
kuna frame zinapangishwa zimebaki mbili nyumba ipo KARIAKOO karibu na soko. maduka ni makubwa na yanafaa kwa ajili ya biashara kama ya SPARE za magari au pikipiki, Boutique, dula kubwa la chakula, na biashara zingine zinazoendana na hizo.
kodi kwa mwezi ni milioni moja (1,000,000) tu na malipo ni kwa mwaka mzima.
pia nyumba hiyo hiyo ina store au wengine wanaita magodown 3 na kila moja inapangishwa kwa laki 7 (700,000) tu kwa mwezi pia malipo ni kwa mwaka mzima.
nikipata muda nitaipiga picha kama kutakuwa na umuhimu huo.
yoyote aliye interested anaweza kunipata katika
0713 744 144 - abdul