Hata wa chekechea haupati,kwani walimu wa chekechea wanatakiwa wawe na div1 hadi 3 mwishoHapana ndugu huwezi kupata certificate ya ualimu wa primary, labda unaweza pata wa Chekechea mana kwa primary unatakiwa uwe na ufaulu kuanzia division one hadi three ya points 25. Over!!
Aliekwambia kusomea ualimu ni kwa alie na ufaulu m'bovu kama huo ninani?Naomba kuuliza nina four ya 27 naweza pata certificate ualimu?
Duuh! umewawezaSi ajabu mnaojibu wote mlienda kwa point 28 saizi mnajidai na nyie vichwa ety msyuuu sio lazima ujibu ety! kama unaona vipi pita kushoto waachie wenye majibu mazuri! Kejeri ndo jibu kwanini usimshaur mtu kuchukua kitu kingine kinachoendana na marks zake! Ovyo kama choo cha walevi!