Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Karibu mkuu nadhani hii nyumba sio mgeni, umekuja kivingine
Napenda kujitambulisha rasmi na nategemea tutakuwa na mijadala ya maana zaidi ambayo italenga kujenga na sio kubomoa na wala haitokuwa na kudhihakiana wala kutukakana wala personal attacks
Kama kutakuwa na mtu ana data za kuback up arguments zake tafadhali naomba aje tuzichambue pia kwani bila supporting data itakuwa ngumu mtu kuzungumza
Natumai tutafika pazuri na naamini mnaojiita GREAT THINKERS hamtosema neno mpaka muwe muna uhakina na mnachokisema
asante sana
WE BUILD YOUR FUTURE!