Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kuna taarifa kuwa Forodhani Zenji imeuzwa kwa AGHAKHAN. Je wenzetu mlio visiwa vidogo vidogo mna nyeti yoyote kuhusu hili? maana naona main forum ya wazanzibari ya ZANZINET hairuhusu wasiojuana kwa vilemba kujoin
Najua kuwa SHADIYA KARUME aka MKEWE RAIS KARUME ameshachukua kwa nguvu open space zote na kawapa wataliii including Nyumba ya mayatima ....Huko Pemba nasikia ndio anaiba kwa mile wala si kwa Acre
Wana JF znz tunaomba input zenu kwenye hili
Najua kuwa SHADIYA KARUME aka MKEWE RAIS KARUME ameshachukua kwa nguvu open space zote na kawapa wataliii including Nyumba ya mayatima ....Huko Pemba nasikia ndio anaiba kwa mile wala si kwa Acre
Wana JF znz tunaomba input zenu kwenye hili
Last edited by a moderator: