Former TIC Executive Director, Emanuel Ole Naiko

That's Barrick for you. full of cowboys! Adam Kimbisa anakuambia 'technical know who?
 
Huyu Ole Naiko inaelekea ana ujuzi wa Madini pia maana aliwahi hata kuwa pale Kiwanda cha Minjingu Phosphate enzi hizo.
 

In this country there is the so called total Governance failure!this is only possible in tz!
 
Nadhani hawa jamaa watakuwa wanamlipa fadhila kwa "mema" aliyowatendea wakati alipokuwa bosi wa TIC. We angalia hata hiyo post waliyompa hapo ABG ni zile za kutengeneza kwa ajili ya mtu fulani, mara zote post kama hizi hata kwenye ORGANOGRAM au ORGANISATION CHART huwa hazipo. Tumekwisha. changanua.
 
Sasa hivi atawambia kabila lao linaonewa...haya masuala ya ukabila na udini yameletwa kusudi kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…