Mungu awatangulie sana wafanye vizurWanafunzi wa form 6 wanatarajia kuanza mitihani yao ya taifa kuanzia juma tatu.Mungu awasaidie wapate kufanya vizuri
Vijana wangu wa Sengerema Boys msituangushe
Tuwaombee tu wasiwe na hofu.pressure wala wasiwasi.wajiamini tu watawezaKila LA kheri kwao
Kwani ratiba si ipo hivi siku zote,kwama mwanzoni mwa mwezi may,vijana wanaingia kikaangoni!!!Si ungehairishwa huu mtihani.wakaongezewa ata miezi mitatu mbele.mbona ka uonevu Fulani iv.kweli miaka miwili imeisha hii
Duuh hamna kiamuzi cha maisha icho.yani ni kama wapo mahakamani.Kwani ratiba si ipo hivi siku zote,kwama mwanzoni mwa mwezi may,vijana wanaingia kikaangoni!!!
Watapiga tu.kama wanajua nini wanatakaTarakea high school fanyeni kweli madogo