Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Waziri husika akitangaza.
hutangazwa na ndali-charcol
Waziri husika akitangaza.
watu wote wangekua wanatoa maneno kama haya kwa watu,ungekuta wengi sana wamefariki au kukata tamaa!!!Dogo yameshatoka,umepata ZERO,Kama huamini njoo nkuonyeshe SOURCE.
Ni kweli mkuu ila sijaelewa kwanini wengi wameshindwa kumpa ufafanuzi wakati swali lenyewe ni la msingi kabisa, mtoa maeuliza humu akiamini huwa ni chanzo kizuri cha taarifawatu wote wangekua wanatoa maneno kama haya kwa watu,ungekuta wengi sana wamefariki au kukata tamaa!!!
Kijana kama wewe unatambua thamani ya Mungu katika maisha yako,mwombe sasa kwa kuwa haujui siku wala saa pale matokeo yatakapotoka,so mwombe Mungu matokeo mazuri lakini pia yakija tofouti Mungu akupe uvumilivu katika wakati huo mgumu ambao haujawahi pata katika maisha yako ili uweze kupata plan B iliyo nzuri kwa maisha yako,keep on praying form four leave happy or sad is around the corner.
matokeo ya kidato cha nne 2012 yanatoka lini???
esults? Utafauru? Likewise....Correction please: esults=Results and yours: Utafauru= Utafauluesulty? Utafauru kweli.