juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,480
- Thread starter
- #21
Soma Advance HGE uende degree ya Education then kazi utapata English Medium Primary Schools private
Huna akili na inaelekea wewe sio msomaji wa mada ukaimaliza..
Soma Advance HGE uende degree ya Education then kazi utapata English Medium Primary Schools private
Mkuu naona hawajakuelewa.Huna akili na inaelekea wewe sio msomaji wa mada ukaimaliza..
Mkuu naona hawajakuelewa.
Wewe unachotaka ni degree haijalishi ni gani. Hata kama ni ya uendawazimu.
Mimi kwa upande wangu kufanya mambo yasiwe mengi. Nenda kapige A level kama private candidate. Combination rahisi ni hkl. Mwakani mwezi wa tano anza process za kusoma. 2024 ukaanze degree ya political science au public administration pale Mlimani ukiwa na one yako kali.
Best of luck
Kama ni mwaka mmoja kwa 5&6 kwa advance nenda maana ukipiga hapo miaka mitatu mbele una degree..ila ukienda diploma utakuwa ndani ya miaka 2 unadiploma mpaka umalizw degree 3 Tena jumla ni mitano..
Soma advnc mwaka mmoja kachukue degrees piga hgl haina mamb mengi
HGL hapo unapiga fasta naona English uko njema sana ..hayo mengine Geography na History utapiga tu..Hata CBG unapiga fresh tu ..ila one kwa HGL ndo uwakika!!Unahisi ni masomo gani yatanipa one kwa uelewa wako mkuu? Thanks Kwa ushauri pia
HKL ni uwakika zaidi.HGL hapo unapiga fasta naona English uko njema sana ..hayo mengine Geography na History utapiga tu..Hata CBG unapiga fresh tu ..ila one kwa HGL ndo uwakika!!
HKL ni uwakika zaidi.
Ukifeli HKL hata kushindwa kupata 2 ya 10. Utakuwa una shida mahali.
HGL hapo unapiga fasta naona English uko njema sana ..hayo mengine Geography na History utapiga tu..Hata CBG unapiga fresh tu ..ila one kwa HGL ndo uwakika!!
Geography tatizo lake kupata A ni ngumu kuliko hata physics unaweza kujibu uwakika ukashangaa una B .. physics na masomo ya science yako accurate ukijibu uwakika unapata A ..Naona hapo angalau kiswahili ila Geography usahihishaji unazingua sanaHistory sina wasiwasi nayo..je kati ya geog na kiswahili lipi Lina mambo mengi?
Hio ni minimum kabisa.Sitaki two bali Nataka one
Hio ni minimum kabisa.
Yaani umeshindwa kabisa.
Hayo mengine ni mziki zaidi
Geography tatizo lake kupata A ni ngumu kuliko hata physics unaweza kujibu uwakika ukashangaa una B .. physics na masomo ya science yako accurate ukijibu uwakika unapata A ..Naona hapo angalau kiswahili ila Geography usahihishaji unazingua sana
Wapi nimeaandika ukaajiriwe...Mkuu nimekwambia lengo ni usomi tu..kuhusu kuajriwa Kwa mimi sio dili kwanza sipendi kuajiriwa
Soma
Jipime mwakani kabla ya kufanya paper ya 2024
Kwamba anza kusoma muda huu, mwakani wakimaliza kufanya paper kafanye zile paper ujipime kabla hijalipa hela ya mtihaniSijakuelewa mkuu!! Dadavua please