Forex Trade imeniumiza

Lot size ulizokua una weka ukiwa na 300usd ungetumia hizo hizo ukiwa na 1000usd.
 
Mkuu si ulikuwaga unadanrodi hela zama za ontario mwamba wa jangid plaza
Niliacha kitambo kaka, kuna mshikaji anaitwa Gasper aliniuzia Robot lake linalotrade automatic...

Lilikuja likaunguza account yangu ya $4000.

Halafu tena kuna yule mshikaji anaitwa Gammy walikua pale Mlimani Tower, walinichomea account yangu ya $1000 walikua wanafanya Account Management mwisho wa mwezi tunagawana profit 60 to 40.

Mpaka leo sijainuka tena. Ndio nataka nirudi sasa.
 
Ukome
 
Dah wamekupiga dollar 5000 tayari duh!

Kumbe yale maroboti yanatafunaga hela mle😂😂😂
 
Yale marobot hayawezi kudetect news kama NFP Ile ya ijumaa ya kwanza ya mwezi hata mm walisepa na 300$ yanaweza order sitaki kusikia tangu 2017
Yenyewe yanafata candle sticks tu😅😅😅
 
Kinachoponza kwenye forex ni tamaa ya pesa ya haraka.
Watu wana force soko hata kama haliko vizuri anaingia.
Pili kutumia lot size kubwa
Alivoikuza acc yake toka 300 mpk 1000,angeenda nayo taratibu hivo hivo
 
Br unkifahamu kilimo vizur au hko sio kimbilio la walio shindwa...kunaitaji mikakati mzuri na fungu la kutosha...
 
Umekata tamaa mapema sn,hkn biashara km forex mkuu
 
Kinachoponza kwenye forex ni tamaa ya pesa ya haraka.
Watu wana force soko hata kama haliko vizuri anaingia.
Pili kutumia lot size kubwa
Consistency,mtu anashindwa kukomaa na strategy inayompa hela,akiona loss kidg anachange strategy,hapo ndo maumivu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…