Lakini ndio maana Mutabuzzi et al wakaanzisha white party ya Dar wing na get together party ili watu wapate kukutana kiu halisia na kuweza kuwa na maamzi sahihi!
Hahahahahaah haya mkuu wewe ni mpole usijali. Tunataka kufanya maandamo kwa waanzilishi wa jeiefu kupinga watu wanaotumia majina fake na wanaotumia picha fake nafikiri hii itasaidia ili kama mtu hataki kuweka uhalisia wake basi watuachie jukwaa letu tulio wakweli. Piga vita bidhaa fake kwa nguvu zako zote.
Hahahahahaah haya mkuu wewe ni mpole usijali. Tunataka kufanya maandamo kwa waanzilishi wa jeiefu kupinga watu wanaotumia majina fake na wanaotumia picha fake nafikiri hii itasaidia ili kama mtu hataki kuweka uhalisia wake basi watuachie jukwaa letu tulio wakweli. Piga vita bidhaa fake kwa nguvu zako zote.