For petrol heads wote

ah kuna gari ilifail brake at the same time kuna gari ilikuwa ina cross barabara ili ikapaki...sasa zikagongana na zikapaa mpk pemben ambako ziliwaangukia watazamaji waliokuwa wamechill..

almost 8 people wamekufa but others wanaendelea vzr.. ni vitu vya kawaid ktk jamii ya motorsports RIDE OR DIE.
Nilidhani hii ya watu 8 ndio sahihi
 
subie..
IMG-20190509-WA0006.jpeg
 
Iliyofanyika mwezi wa 9 tarehe 17 nimekuja kupata habari kwenye gazeti naona Dharam Pandya kashinda.
anha... hauna updates zozote za rally i mean Next schedule................. ? then hii december tulizoea kuona ARUSHA DRIVE... ngj tusubir updates
 
anha... hauna updates zozote za rally i mean Next schedule................. ? then hii december tulizoea kuona ARUSHA DRIVE... ngj tusubir updates
Mwezi wa 10 mwanzoni ARC itafanyika Rwanda. Mount Gorrilla ARC dereva wa Tanzania aliyethibitisha kwenda ni Dharam Pandya.
 
AAT na Mzizima Motor Sport Club taarifa wanatoa kwa kuchelewa na mitandaoni kwenye page nako ni majanga taarifa wanatoa wakijisikia.

Waziri Mwakyembe inabidi awashtue wamelala sana na wamejipa vyeo kama kachori mchezo hausongi mbele kila siku.
 
AAT na Mzizima Motor Sport Club taarifa wanatoa kwa kuchelewa na mitandaoni kwenye page nako ni majanga taarifa wanatoa wakijisikia.

Waziri Mwakyembe inabidi awashtue wamelala sana na wamejipa vyeo kama kachori mchezo hausongi mbele kila siku.
huwa inatoka ratiba ya mwaka.. au miezi mitatu mbele... ila mchezo wa Rally ulikuwa unakuja kwa kasi..(msaada wa AZAM media umechangia sana kuvuta mashabiki wengi) ila WAHINDI wanaharibu kila kitu.... sisi wabongo tunabaki kuwa wapambe tu.. tukizidi sana.. tunakuwa NAVIGATORS,,,, at least kwa Arusha kule... wanajitahidi muamko ni mkubwa.. ila kwa overall perfmnce ya wazawa ni ndogo.. acha wakina PANDYA waamue wanavyotaka....

kibaya zaid.... DHARAU nyingi....
 
Back
Top Bottom