TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,502
- 11,248
hahahahaha! Hebu nitake radhi tanmo.
Samahani Dada Husninyo, ila kweli au si kweli?
hahahahaha! Hebu nitake radhi tanmo.
nimekusamehe mdogo wangu. Si kweli hata kiduchu.Samahani Dada Husninyo, ila kweli au si kweli?
usijekushangaa unamwita Babu yako "mdogo wangu" hapa.. :clock:nimekusamehe mdogo wangu. Si kweli hata kiduchu.
hili nalo neno maana humu vibibi na vibabu vimejaa. Lol.usijekushangaa unamwita Babu yako "mdogo wangu" hapa.. :clock:
kuna wanawake wanapenda penda sana wanaume! Hawa sijui tatizo lao huwa ni nini!
kuna wanawake wanapenda penda sana wanaume! Hawa sijui tatizo lao huwa ni nini!
hehehe Dr. umezoea vibuti, usipate manundu.Mi natupa tu ndoano ikinasa samaki poa ikitoka kapa poa.nshazoea vibuti
hehehe Dr. umezoea vibuti, usipate manundu.
hayo hayana uhalisia watu wanayaforce tubut hii hai apply na online relationship naona