Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Itafika mahali kila kitu kitakuwa wazi... Halafu wananchi watadai ufafanuziNimeuliza swali lakini nia yangu ni kutoa Wito kwamba tuchukue hatua Sasa kujiokoa tumwache Rais Magufuli Akae Kwao Chato, nadhani kwake familia na Mama Mzazi wake wakati huu ni muhimu kuliko nchi...Ndugu, tuamke tunakwisha
Haya ni Makaburi ya Ununio Dar es Salaam, mmoja wa waliozikwa juzi Usiku ni Bernard Ngoyai Lowassa, sina Hakika kama ni Mwanafamilia wa Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa
View attachment 1434665
Serikali ya hovyo yenye kiongozi wa hovyo pia hupenda kufanya Mambo yake kwenye giza,Nimeuliza swali lakini nia yangu ni kutoa Wito kwamba tuchukue hatua Sasa kujiokoa tumwache Rais Magufuli Akae Kwao Chato, nadhani kwake familia na Mama Mzazi wake wakati huu ni muhimu kuliko nchi...Ndugu, tuamke tunakwisha
Haya ni Makaburi ya Ununio Dar es Salaam, mmoja wa waliozikwa juzi Usiku ni Bernard Ngoyai Lowassa, sina Hakika kama ni Mwanafamilia wa Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa
View attachment 1434665
Daaa hayo makaburi yamenitia sana simanzi, ndugu yangu kalala hapo majuzi!Nimeuliza swali lakini nia yangu ni kutoa Wito kwamba tuchukue hatua Sasa kujiokoa tumwache Rais Magufuli Akae Kwao Chato, nadhani kwake familia na Mama Mzazi wake wakati huu ni muhimu kuliko nchi...Ndugu, tuamke tunakwisha
Haya ni Makaburi ya Ununio Dar es Salaam, mmoja wa waliozikwa juzi Usiku ni Bernard Ngoyai Lowassa, sina Hakika kama ni Mwanafamilia wa Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa
View attachment 1434665
pole sanaDaaa hayo makaburi yamenitia sana simanzi, ndugu yangu kalala hapo majuzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ngoma inavyokwenda inaonyesha kama uongozi umepigwa na upofu kama ule wa Farao. Lolote linaweza kutokea. Haingii akilini kuoni jinsi watu wanavyopoteza maisha halafu mikusanyiko ya watu wengi kama Bunge, Ibada, Bar nk inaendelea. Bahati mbaya sana ni kuwa corona inakuja kwa kunyemelea sana na ukiona vifo vimeanza kufululizana basi ujue ni hali ya hatari.Nadhani lililo mhimu hapa ni kutafuta njia za kuyaweka wazi hayo yanayofichwa na serikali.
Kuyawekea kumbukumbu sahihi kama ushahidi wa baadae kwa vile sasa haiwezekani kuyaweka bayana watu wayajue.
Hawa watawala hawatakuwepo madarakani milele kuficha madhambi wanayofanya.
Sasa wewe nawe Una kazi gani?Sisi tunachapa kazi usitufundishe uvivu
Huku tukichukua tahadhari zinazotolewa na viongozi wetu wa Afya kuhusu kupambana na corona
Nyie chadema jifungieni
Corona ikiisha maliza watu ataibuka mtu kutoka chimbo kichakani na kusema nime create nafasi za ajira. Anataka tu pesa ili watu wakipungua wamuache mifuko Yake ikiwa minono.Serikali inajali maiti kuliko watu hai
USHAJIFUKIZA??Sisi tunachapa kazi usitufundishe uvivu
Huku tukichukua tahadhari zinazotolewa na viongozi wetu wa Afya kuhusu kupambana na corona
Nyie chadema jifungieni
ENDELEA KUJIFUKIZA NI DAWA TOSHAAHii ngoma inavyokwenda inaonyesha kama uongozi umepigwa na upofu kama ule wa Farao. Lolote linaweza kutokea. Haingii akilini kuoni jinsi watu wanavyopoteza maisha halafu mikusanyiko ya watu wengi kama Bunge, Ibada, Bar nk inaendelea. Bahati mbaya sana ni kuwa corona inakuja kwa kunyemelea sana na ukiona vifo vimeanza kufululizana basi ujue ni hali ya hatari.
Vipi lockdown mkuu. Siku ya ngapi hii.?Nimeuliza swali lakini nia yangu ni kutoa Wito kwamba tuchukue hatua Sasa kujiokoa tumwache Rais Magufuli Akae Kwao Chato, nadhani kwake familia na Mama Mzazi wake wakati huu ni muhimu kuliko nchi...Ndugu, tuamke tunakwisha
Haya ni Makaburi ya Ununio Dar es Salaam, mmoja wa waliozikwa juzi Usiku ni Bernard Ngoyai Lowassa, sina Hakika kama ni Mwanafamilia wa Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa
View attachment 1434665