FOLENI zapungua Dar- 'year end'

Mpevu

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,805
173
Habari,
Hivi ni experience yangu tu ama ni wote?
Maana nimegundua kwa siku tano sasa roads za Dar zimepungua foleni, sijua wakazi wa mji huu wamepungua ama ni aje wadau!
Tujuzane KULIKONI!!!
 
Habari,
Hivi ni experience yangu tu ama ni wote?
Maana nimegundua kwa siku tano sasa roads za Dar zimepungua foleni, sijua wakazi wa mji huu wamepungua ama ni aje wadau!
Tujuzane KULIKONI!!!

ni kawaida kila mwaka hapa nipo Tanga kwa bibi kogwa napata moja moto moja baridi ikifika tarehe kama 5 tunarudi wote kubanana

umezaliwa mwaka Huu?? sorry nataka kujua
 
King of Kings,
si unajua sisi walowezi? Kwetu ni Tanganyika kuleee karibu ya mwisho wa reli ndo maana tunastaajabu KULIKONI hapa mjini kweupeeee?/
 
Back
Top Bottom