Foleni ya Dar leo ni hatari!

Foleni ya Dar leo ni hatari!

Tahadhari, kama hauna mishe ya muhimu ni vema ukatulia nyumbani maana njia karibu zote za city centre zimefunga.
OVA.
Hii nchi kwasasa inanipa vibe za 2005 hadi 2015. Naomba Mungu tu Madawa ya Kulevya na Ugaidi usije kwa kasi.
 
Ile flyover ya Tazara Ni ya kuwarahisishia watawala na wazungu kwenda na kurudi kutoka eapot.
Ni Kama Ile daraja ya agakhan Hadi Oysterbay. Ile Ni kuwarahisishia wakubwa waende town/eapot fasta na kurudi vile vile wasikutane na vibaka wa mwananyamala, mosko na kwingineko salenda bridge.
Kama wakubwa wanamjali mlalahoi, wanyanyue na wapanue jangwani.
Vile vile waboreshe mwendokasi.

CCM oiyee
 
Ile flyover ya Tazara Ni ya kuwarahisishia watawala na wazungu kwenda na kurudi kutoka eapot.
Ni Kama Ile daraja ya agakhan Hadi Oysterbay. Ile Ni kuwarahisishia wakubwa waende town/eapot fasta na kurudi vile vile wasikutane na vibaka wa mwananyamala, mosko na kwingineko salenda bridge.
Kama wakubwa wanamjali mlalahoi, wanyanyue na wapanue jangwani.
Vile vile waboreshe mwendokasi.

CCM oiyee
Walalahoi Zama zenu zimepita
 
Tarehe 3/12/2011 foleni iliunga toka Ubungo mataa mpaka Mbezi Luis. Siku hiisitaisahau maana Mr. Ebbo alifariki kesho yake. Lkn pia ile kwaya maarufu ya wanyarwanda ilikua inatumbuiza pale Diamond Jubilee hall .
Mkuu kuna uwezekano leo record imevunjwa. Sijawahi ona foreni ndefu hivi aisee. Maroli shikamoo.

Unajua ni kutokea Buguruni hadi riverside gari hazitikisiki bajaji haipenyi.

Aisee Haya Maroli yaishie Kibaha.
 
Back
Top Bottom