- kila munu avena kwao.
Dah Christmas kulia dar sio kabisa. Jua kaliii
Hivi JPM hawezi kutumbua hili jipu la watu kwenda kuhesabiwa tukaelekeza hizo resources kwenye mambo ya maana?!
Ticketi za ndege kwenda mwanza,mbeya zimeisha,mabasi ya kwenda mikoa yote yamejaa! Magari binafsi kwenda mikoa yote ni mengi! Sasa hii tabia ya ukanda wa kaskazini kujisifu kama vile wao ndo wenye ela peke yao unatoka wapi? Mnachosha!
Hivi JPM hawezi kutumbua hili jipu la watu kwenda kuhesabiwa tukaelekeza hizo resources kwenye mambo ya maana?!