Cc tuliandikiwa select wakat chuo hakijacofm inakuaje jaman
MKUU kuna ndugu yangu alifatiria suala hilo na kuambiwa kwamba majina yashatumwa VYUONI since tarehe 12 ..kwahiyo kazi ipo vyuoni kukupokea au kuwa rejected ..
source ni ndugu yangu aliyekuwa NACTE leo
mkuu usjali Chuo ni ngumu kuku reject kama nafasi ipo