Hii ya leo ni nyoko...leo njia ya kimara imetunyoosha haswa...foleni tangu saa tatu usiku mpaka saizi saa saba bado hatuelekei kutoboa...leo nalala njiani kama naenda kigoma bora hata ningekua na manzi mkali pembeni...malori kama buku...nahisi foleni ishafika manzese saizi... Dar bhana...nalala njian leo na home napaona paleeee....