Foleni kubwa isiyo na msingi barabara ya Kilwa

moyafricatz

JF-Expert Member
Nov 27, 2015
2,900
4,865
Tunaomba maaskari wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani kuingilia kati kwani watu wanachelewa kwenye majukumu yao ya kitaifa, wanafunzi n.k.

Kuna foleni kubwa inayoendelea kurefuka kutoka kwa round about ya kwa Aziz Ally inaendelea mpaka kwenye daraja la treni hapa Mtongani mpaka Mbagala mission na kuendelea mpaka maeneo ya St. Anthony, Kipati.
Tunaomba Serikali ifungue njia ya mwendokasi kwa kipindi hiki ambacho barabara kuu imefunga.

Kwa nini tusitumie barabara ya mwendokasi ilihali imekamilika???

Kama Serikali bado haitaki kuifungua sababu ya mabasi au sababu zingine za kiutawala basi turuhusu watu binafsi wapite kuwahi makazini.

Tunaonekana mazuzu wote tumebanana kwenye foleni moja ndefu wakati mwendokasi imepumzika na imewekewa mawe makubwa kuzuia magari...

Tuokoe muda wa kulijenga taifa.

20231024_070432.jpg
 
Tunaomba maaskari wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani kuingilia kati kwani watu wanachelewa kwenye majukumu yao ya kitaifa , wanafunzi n.k.
Kuna foleni kubwa inayoendelea kurefuka kutoka kwa round about ya kwa aziz ally inaendelea mpaka kwenye daraja la treni hapa mtongani mpaka mbagala mission na kuendelea mpaka maeneo ya st Anthony, kipati.
Tunaomba serikali ifungue njia ya mwendokasi kwa kipindi hiki ambacho barabara kuu imefunga.

Kwa nini tusitumie barabara ya mwendokasi ilihali imekamilika???

Kama serikali bado haitaki kuifungua sababu ya mabasi au sababu zingine za kiutawala basi turuhusu watu binafsi wapite kuwahi makazini.

Tunaonekana mazuzu wote tumebanana kwenye foleni moja ndefu wakati mwendokasi imepumzika na imewekewa mawe makubwa kuzuia magari...

Tuokoe muda wa kulijenga taifa.View attachment 2790856View attachment 2790857View attachment 2790858View attachment 2790859View attachment 2790860
Hapa ni pale msikitini kabla ya kufika Mtoni Mtongani. Foleni hii husababishwa na ujinga wa madereva wa madaladala pale kituo cha daladala cha Mtoni Mtongani. Cha ajabu kuna kituo cha polisi pale karibu kabisa lakini wanaangalia tu. Ujinga kama huu hutokea tena kwa Aziz Ally. Siwaelewagi hawa polisi kwenye hili. Na ujinga mwingine hutokea pale Bandari kuelekea BP.
 
Tunaomba maaskari wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani kuingilia kati kwani watu wanachelewa kwenye majukumu yao ya kitaifa , wanafunzi n.k.
Kuna foleni kubwa inayoendelea kurefuka kutoka kwa round about ya kwa aziz ally inaendelea mpaka kwenye daraja la treni hapa mtongani mpaka mbagala mission na kuendelea mpaka maeneo ya st Anthony, kipati.
Tunaomba serikali ifungue njia ya mwendokasi kwa kipindi hiki ambacho barabara kuu imefunga.

Kwa nini tusitumie barabara ya mwendokasi ilihali imekamilika???

Kama serikali bado haitaki kuifungua sababu ya mabasi au sababu zingine za kiutawala basi turuhusu watu binafsi wapite kuwahi makazini.

Tunaonekana mazuzu wote tumebanana kwenye foleni moja ndefu wakati mwendokasi imepumzika na imewekewa mawe makubwa kuzuia magari...

Tuokoe muda wa kulijenga taifa.View attachment 2790856View attachment 2790857View attachment 2790858View attachment 2790859View attachment 2790860
Kuna Matajiri wowote wanaishi huko?
 
Mkuu ukiachana na hapo mbagala hii kilwa road ya rangi tatu hadi ufike vikindu ni changamoto sana,halafu serikali kama haiioni.
Tatizo la Mbagala sio la leo, tokea 1995 Mbagala foleni foleni.
Hapo Rangi 3 ndio kuzimu kabisa.

Ukivuka Rangi 3 kuelekea huko vikindu nako road ni nyembamba na mbovu mnoo hasa pale bondeni darajani...sijui kama wamerekebisha
 
Back
Top Bottom