DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Ukitoka mbezi unakutana na foleni kwa yusufu kuelekea kibamba. Hataree
Uliingiaje DSM kabla ya kuingia Ubungo?
Kibamba ni eneo la Ubungo.
Sasa unakuwaje uingie Dar halafu hujafika Ubungo?
Ubungo.ni wilaya ya Mkoa wa Dsm
Anamaanisha alifika kwenye mpaka wa Pwani na Dar pale mizani ya Zamani Kibaha, lakini alifika Ubungo saa nne. Au mipaka haujaitambua.mkuu?
Hujui kibamba ni dsm
Mliwatukana TANROADS pale wachina walipoweka round about Ubungo na kukomesha foleni. Kwa kua TANROADS wanapenda foleni, sasa wameleta ya ukweli. Kama ninyi wanaume kweli wekeni roundabout Temboni.Ile foleni ya Kimara Ubungo sasa imehamia rasmi Kimara-Mbezi. Magari hayasogei kabisa kwa wale waendao mikoani. Hali imekuwa mbaya sana.
Fikiria unatumia masaa manne kutoka Kimara mpaka Mbezi. Nini shida wahusika?
Hakuna ajali, hakuna chochote cha maana kinachosababisha foleni.
Nadhani kuna uzembe wa waongoza magari (traffics).
Wahusika tatueni tatizo.
Aika ukivuka Mizani unaingia Dar? Mizani ipi? Ya Himo au Buseresere?Huo mpaka wa Dar na Pwani maeneo hayo, ukivuka kutoka Wilaya ya Kibaha, unaingia Wilaya ya Ubungo, kata ya Kibamba.
Sasa huyu jamaa anasemaje aliingia Dar then akaingia Ubungo?
Wakati, ukivuka mizani tu, unaingia Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam.
Aika ukivuka Mizani unaingia Dar? Mizani ipi? Ya Himo au Buseresere?
Kiswahili ni kigumu sanaJuz nliingia dsm saa 1 jion ila nliingia ubungo saa 4 usiku.