Foleni Kimara-Mbezi waendao Mikoani

Foleni Kimara-Mbezi waendao Mikoani

ntemintale

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
956
Reaction score
1,878
Ile foleni ya Kimara Ubungo sasa imehamia rasmi Kimara-Mbezi. Magari hayasogei kabisa kwa wale waendao mikoani. Hali imekuwa mbaya sana.

Fikiria unatumia masaa manne kutoka Kimara mpaka Mbezi. Nini shida wahusika?

Hakuna ajali, hakuna chochote cha maana kinachosababisha foleni.

Nadhani kuna uzembe wa waongoza magari (traffics).

Wahusika tatueni tatizo.
 
Ujenzi ndo umesimama tayari, mpaka miradi mingine iishe, sijui lini!

Nimefika Kimara, nimekaa dk 5 nikaona hakuna gari inayotikisika, nikageuza, nimepita makongo juu.
Tuombe huo ujenzi wa barabara mpya uishe mapema..nahisi utasaidia kusolve foleni.
Msongamano kimara hadi mbezi sio kitu kigeni..inatokeaga tu by chance unakuta pako clear
 
Ujenzi ndo umesimama tayari, mpaka miradi mingine iishe, sijui lini!

Nimefika Kimara, nimekaa dk 5 nikaona hakuna gari inayotikisika, nikageuza, nimepita makongo juu.
Hakuna ujenzi uliosimama mkuu, ule mwingine umesitishwa kwa muda ila bado haujanza na haipiti huku kaka, mjini- pugu-kisarawe-chalinze,
 
Tatizo kubwa lipo kwenye daraja la Mbezi mwisho,barabara iliyotengwa haipitiki vizuri,magari yanaenda taratibu sana,tatizo jingine kwa waongoza magari wameacha watu wanatanua hovyo especially wanaotoka kibaha,matokea yake magari yanayotoka Mbezi yanakuwa hayasogei.
Ile foleni ya Kimara Ubungo sasa imehamia rasmi Kimara Mbezi. Magari hayasogei kabisa kwa wale waendao mikoani. Hali imekuwa mbaya sana.

Imagine unatumia masaa manne kutoka Kimara mpaka Mbezi. Nini shida wahusika?
Hakuna ajali, hakuna chochote cha maana kinachosababisha foleni.

Nadhani kuna uzembe wa waongoza magari (traffics).
Wahusika tatueni tatizo.
 
Hii ni laana ya kuwabomolea watu nyumba zao bila ya kuwalipa fidia..
Sasa ujenzi wa barabara umesimamishwa..
Na bado mabalaa mengine yanakuja.
 
Ile foleni ya Kimara Ubungo sasa imehamia rasmi Kimara Mbezi. Magari hayasogei kabisa kwa wale waendao mikoani. Hali imekuwa mbaya sana.

Imagine unatumia masaa manne kutoka Kimara mpaka Mbezi. Nini shida wahusika?
Hakuna ajali, hakuna chochote cha maana kinachosababisha foleni.

Nadhani kuna uzembe wa waongoza magari (traffics).
Wahusika tatueni tatizo.
WAHINDI wenu hao.mlowapa kazi ndio WAMECHEMSHA! HAWANA UBUNIFU, eneo lote kuanzia kimara mpaka mbezi hiyo foleni inasababishwa hapo KIBANDA CHA MKAA kwenye hilo daraja! wameweka mchepuko ambao haukuwa na lami ngumu mapechimbika na kuweka mashimo makubwa sasa kila gari ikipita hapo inasimama kuokoa spring zao
 
Back
Top Bottom