Foleni Kimara Inatisha.

Foleni Kimara Inatisha.

DISPLEI

Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
73
Reaction score
48
Kimara foleni siyo ya kawaida. Magari hayatembei toka mida ya saa 12.30 asubuhi.






Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Toka HUKO kaa manzese ni pazuri sanaaa,

kuna upumbavu pale ubungo terminal inatumika njia moja tu.. wakati ya pili imefungwa bila kuwa na kazi
Kimara foleni siyo ya kawaida. Magari hayatembei toka mida ya saa 12.30 asubuhi.






Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ndio mambo ya mvua hayo, dawa ni kuwahi kuamka haina ujanja.
Mimi naishi Mbezi ila nimefika mjini saa 7:00 kwa kuwa nilitoka mapema zaidi huko.
 
Ndio mambo ya mvua hayo, dawa ni kuwahi kuamka haina ujanja.
Mimi naishi Mbezi ila nimefika mjini saa 7:00 kwa kuwa nilitoka mapema zaidi huko.

Nyinyi ndio wale mnaosinzia ofisini na kazi haziendi kuna mmoja ninaongea nae hapa huku kashikilia simu yake yaani anasinzia mpaka anadondosha simu.Suluhisho kaa karibu na mahali pako pa kazi.
 
Nyinyi ndio wale mnaosinzia ofisini na kazi haziendi kuna mmoja ninaongea nae hapa huku kashikilia simu yake yaani anasinzia mpaka anadondosha simu.Suluhisho kaa karibu na mahali pako pa kazi.

Hahahaha....mkuu huyo jamaa yako hana stamina
Wabongo wote tukikaa mjini, WAHINDI wataishi wapi??
 
mimi nimetoka home saa moja,nimeingia town saa nne na nusu.
 
Nyinyi ndio wale mnaosinzia ofisini na kazi haziendi kuna mmoja ninaongea nae hapa huku kashikilia simu yake yaani anasinzia mpaka anadondosha simu.Suluhisho kaa karibu na mahali pako pa kazi.

Mahali pa wengi pa kazi ni maeneo ya City center radius 10km sasa kila mtu akae huko si itakua balaaa
 
Ndio mambo ya mvua hayo, dawa ni kuwahi kuamka haina ujanja.
Mimi naishi Mbezi ila nimefika mjini saa 7:00 kwa kuwa nilitoka mapema zaidi huko.

Sasa muda huo unasafiri au unaenda kazini?mbona kazi imegeuka kero jamani.
 
Kipenzi ndio namna tuishivyo, kila siku kuna masaa 4 hadi 5 ya kukaa barabarani haswa kwa kina siye tuishio nje ya mji.

Sasa muda huo unasafiri au unaenda kazini?mbona kazi imegeuka kero jamani.
 
Ndio mambo ya mvua hayo, dawa ni kuwahi kuamka haina ujanja.
Mimi naishi Mbezi ila nimefika mjini saa 7:00 kwa kuwa nilitoka mapema zaidi huko.

vp huna mwenza nn?mvua na barid yote hii unawah kuamka unakwenda wap?mambo ni ku share body warmth
 
ila kimara kero kwakweli!hapa cjapata kazi nikipata c itakuwa balaa!?acha wakae waliojenga kwakweli,wengine tubanane humhum town
 
yaani nimepanda gari kimara mwisho nimemaliza saa 1 mpaka ss hata tanesco sjafika!!
 
Wachaga muanze kununua helcopter sasa. Hii mambo nyumba moja inatoka magari 3 daily sio yenyewe. Afu kuna mijitu sijui ina magari ya kuendea kusali? Siku mvua inanyeshwa basi wanayatoa ndani. Aagh!
 
Kimara safi kuna hali ya hewa nzuri sana! Ni kijani kitupu!

Halafu nyama choma safi na tamu kwa wingi sana!

Ujenzi wa barabara hadi Kimara unakamilika tu mwakani!!
 
Back
Top Bottom