Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 846
- 515
Habari za majukumu! Mm Nina shida ya lips zangu zimekuwa red (mouth ulcers?) kutokana na kuishi sehemu ambayo ni kame kwa kipindi Cha muda mrefu takribani miez mitano hvyo kupelekea kukosa kula mboga za majani kwa muda mrefu. Nilipima wingi wa damu( blood pholymogram) na kukuta nina upungufu wa haemoglobin katika seli nyekundu za damu nikashauriwa kutumia dawa za aina ya "ferrous sulphate" na kuzingatia mboga za majani hasa matembele.Hv Juzi ngozi yangu imeanza kuwasha muda wote ni kujikuna nahisi ni Kama Kuna vitu vinanichoma hasa miguuni ,kwenye mikono na kichwani kwenye nywele.Naombeni Muongozo,ushauri wa matibabu ya hili tatizo.
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani