Fogo

Fogo

Mlenge

R I P
Joined
Oct 31, 2006
Posts
2,125
Reaction score
2,317
Moshi (na Arusha?) mtu tajri huitwa "fogo".

Akitokea Fogo ambaye ataamua kulipa "fidia" Watanzania wote ili "alete maendeleo" kwa "kuwekeza" kwenye ardhi yote ya Tanzania itakuwa sawa?

Vipi kama atachukua nusu ya nchi yote?

Robo?

Kilomita za mraba 200?

Hekta 200?

Hekta moja?

Mita ya mraba moja?

Watu milioni 20?

Milioni 2?

Laki mbili?

Elfu Ishirini?

Elfu mbili?

Mia mbili?

mtu mmoja?

?
?
?
...
?
 
[Akitokea Fogo ambaye ataamua kulipa "fidia" Watanzania wote ili "alete maendeleo" kwa "kuwekeza" kwenye ardhi yote ya Tanzania itakuwa sawa? [Quoting MLenge]

Sio sawa huo ni wizi. Kwanza atatoa hela wapi ya kuwanunua watanzania wote? Bila shaka huyo ni mwizi aliyebobea. Sina shaka yupo ndani ya CCM kwani sio rahisi atokee mwizi hadi akubuhu kama halindwi ya serikali inayoongozwa na wezi.

Wezi wanajuana. Ndo maana bado kidogo tu nchi iuzwe nasi tuwe watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe. Hiyo itatekelezwa hao mafisadi CCM wakirudi kuiongoza nchi.
 
Back
Top Bottom