bantu.garage
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 1,436
- 503
Hakuna Flyover ya miezi 3 au 6 afu uite flyover huenda ziwe njia za kuvusha watu au magari. Dubai ina Flyover za ukweli lakini huwezi sema zilichukua miezi 3 au 6, make ukubwa wake (upana na urefu) ni karibu na mtaa mzima. Dar hii hii au nyingine? Flyover za aina hiyo zitajengwa wapi? wakati hata kubomoa majengo wameshindwa?Yah, inaonekana pippo hawajui maana ya flyover! Wanadhan ni kidaraja km cha ubu go. Tembeeni kidogo muone!
Kumbe CHADEMA bado ipo?My be chadema wachukue nchi hayo utayaona sio kwa ccm.
swissme
Flyover ya Tazara inayoanza kujengwa sasa itachukua miaka mitatu kukamilika.Hakuna Flyover ya miezi 3 au 6 afu uite flyover huenda ziwe njia za kuvusha watu au magari. Dubai ina Flyover za ukweli lakini huwezi sema zilichukua miezi 3 au 6, make ukubwa wake (upana na urefu) ni karibu na mtaa mzima. Dar hii hii au nyingine? Flyover za aina hiyo zitajengwa wapi? wakati hata kubomoa majengo wameshindwa?
Story tu nothing will be done I can assure you!Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imeanza mazungumzo na Kampuni ya MABE BRIDGE ya Uingereza kwa ajili ya kujenga barabara za juu (fly over) saba katikati ya jiji la Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, amesema mazungumzo kuhusu ujenzi huo yako katika hatua nzuri na kwa kuanzia zitajengwa fly over nne za watembea kwa miguu na tatu za magari.
Amesema Fly over hizo zitazojengwa zitatumia miezi mitatu hadi sita kukamilika kwakwe na zitagharamiwa na fedha za ndani za Serikali ambapo ujenzi wake unatarajiwa kuanza Desemba mwaka huu.
“Wataalamu wanaendelea kubaini maeneo yatakayojengwa fly over hizo ikiwemo eneo la Mwenge ambalo tayari wataalamu wamekubali kujenga fly over moja ya magari”, amesema Prof. Mbarawa.
Hatua hiyo ni mkakati wa Serikali kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam unaogharimu fedha nyingi kutokana na watu kupoteza muda mwingi barabarani.
Katika hatua nyingine Waziri Prof. Mbarawa amekagua maendeleo ya utoaji huduma katika Daraja la Nyerere na kuagiza vitengenezwe vitambulisho vya msimu vitakavyowawezesha watumiaji wa daraja kulipa tozo kwa miezi sita au mwaka ili kupunguza msongamano wa kulipa kila siku.
“Hakikisheni mnatengeneza na kuuza kadi za kuvukia katika daraja sehemu mbalimbali ili kuwawezesha watumiaji kupata huduma hiyo kabla ya kufika darajani”, amesema Prof. Mbarawa.
Aidha amemtaka Mtendaji Mkuu wa Daraja la Nyerere Bw. Gerald Sondo kuhakikisha tozo zinakusanywa inavyostahili na kupanga njia maalumu za kupita magari makubwa na madogo ili kuwezesha huduma ya kupita darajani iwe ya haraka.
“Magari yote yanayopita katika daraja hili yakiwemo ya Serikali ni lazima yalipe tozo inayostahili isipokuwa yale yenye vibali maalumu yakiwemo ya Jeshi la Wananchi, Zimamoto, Polisi, na yanayobeba wagonjwa (Ambulance)”, amesisitiza Waziri Prof. Mbarawa.
Waziri Mbarawa amesisitiza umuhimu wa wananchi kutunza na kulilinda Daraja hilo ili lidumu kwa muda mrefu na kusisitiza adhabu kali kwa wataohujumu miundombinu yake.
Naye Mtendaji Mkuu wa Daraja la Nyerere Bw. Gerald Sondo amemueleza Waziri Mbarawa kuwa chanagamoto zinazowakabili kwa sasa ni kubaini magari yenye vibali maalumu, malalamiko ya magari ya abiria (daladala), uelewa mdogo wa matumizi ya daraja na mazoea ya kupita bila ya kulipa tozo.
Zaidi ya magari elfu nane hadi elfu kumi na tatu hupita katika daraja hilo kwa siku huku watembea kwa miguu, baiskeli wakipita bila kulipa tozo.
CHADEMA ipi isiyo na CCM?My be chadema wachukue nchi hayo utayaona sio kwa ccm.
swissme
Ugonjwa wako mkuu...hutapona mpaka uite jina la YesuHongera UKAWA kwa kulibadili jiji la Dar es salaam.
Ndoto za abunuasi. Kikikiki!My be chadema wachukue nchi hayo utayaona sio kwa ccm.
swissme
3000 au 1500?Gari 10000×3000= 30,000,000/=
Tuwe na uelewa kidogo tutambua kati ya madaraja na barabara za juu ....kinachojengwa Tazara si flyover bali ni bridge........ili iitwe barabara ya juu au flyover ....angalau iwe kuanzia kilomita kumi na kuendelea
Ungeiweka kiswahili tungenufaika wengi,lakini naona umeamua kutubagua.The difference between Bridge and Flyover is based on the purpose of its usage and the location where it is built.
Bridges
The Golden Gate Bridge
- Bridges are built to connect two points separated by a naturally occuring region like valley, river, sea or any other water bodies, etc.
- They are usually lengthy depending upon the width of the valley or river.
- Construction over river is tedious since foundation has to be carried out on the river bed.
- Bridges are usually built for trains, buses and cars.
Flyovers
- It is a structure which joints two or more points which are separated by an accessible route/s or a man made structure to cut the traffic for faster mode of travelling.
- They are usually made over road junctions, roads, streets, etc.
- The name itself suggests that you are flying over a traffic zone.
- They are usually built for road vehicles.
Bei zipo tofauti tofauti kutokana na ukubwa wa gari. Kuna gari zingine zinalipa mpaka 5000/=. Hiyo 3000/= nimeweka wastani tu.3000 au 1500?
hebu weka mchanganuo wako vizuri, katika hizi namba (13000x2000) 2000 ni nini na 13' ni nini!?13000x2000=26,000,000/= kama hakuna hujuma hiyo si haba kwa siku!! Sijaenda kwa mwezi au mwaka.