Flat Screen Smart Tv vs LED Tv

Flat Screen Smart Tv vs LED Tv

Clemalus

Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
23
Reaction score
30
Habari za weekend wakuu..
Mi mgeni wa Technologia, naomba mnisaidie tofauti kati ya Smart Tv Flatt Screen na LED Tv, na ipi unge recommend mtu kununua kwa matumiz ya familia
 
Habari za weekend wakuu..
Mi mgeni wa Technologia, naomba mnisaidie tofauti kati ya Smart Tv Flatt Screen na LED Tv, na ipi unge recommend mtu kununua kwa matumiz ya familia
LED ni muendelezo tu wa technolojia ya tv, ukiongelea smart TV au flat screen tv tulianza na plasma TV, zenyewe ni flat screen lakini screen yake ya glass, ikafata LCD na sasa tupo kwenye LED.
 
LED ni muendelezo tu wa technolojia ya tv, ukiongelea smart TV au flat screen tv tulianza na plasma TV, zenyewe ni flat screen lakini screen yake ya glass, ikafata LCD na sasa tupo kwenye LED.
Na huko hatupo tushafika 4k
 
halafu mtaani wanakosea sana tv ambayo sio smart wanaita led na tv ambayo ni smart ndio wanaita smart tv. ukweli ni kwamba hata smart tv inaweza kuwa led tv sababu led ni technology tu ya kioo haina uhusiano na usmart wa tv.

TV ambazo sio smart (kama unavyoziita led) zenyewe zinafanya kazi bila operating system yoyote ya maana, hazina wifi, hazina youtube etc, hizi zinakuwa ni kama tv za kawaida ambazo tumezizoea kila siku na tumekua nazo.

smart tv zenyewe kama jina lilivyo zipo smart, zinatumia operating system kama web os, tizen, android etc na una uwezo wa kuinstall apps, zina wifi, na mambo mengine mengi.

TV ya kawaida pia unaweza ukaibadili kuwa smart tv kwa kununua HDMI dongle kama amazon fire stick au Roku au Android tv box, au Apple TV etc ukinunua hivyo vifaa na kuchomeka kwenye tv yako itakuwa smart.
 
halafu mtaani wanakosea sana tv ambayo sio smart wanaita led na tv ambayo ni smart ndio wanaita smart tv. ukweli ni kwamba hata smart tv inaweza kuwa led tv sababu led ni technology tu ya kioo haina uhusiano na usmart wa tv.

TV ambazo sio smart (kama unavyoziita led) zenyewe zinafanya kazi bila operating system yoyote ya maana, hazina wifi, hazina youtube etc, hizi zinakuwa ni kama tv za kawaida ambazo tumezizoea kila siku na tumekua nazo.

smart tv zenyewe kama jina lilivyo zipo smart, zinatumia operating system kama web os, tizen, android etc na una uwezo wa kuinstall apps, zina wifi, na mambo mengine mengi.

TV ya kawaida pia unaweza ukaibadili kuwa smart tv kwa kununua HDMI dongle kama amazon fire stick au Roku au Android tv box, au Apple TV etc ukinunua hivyo vifaa na kuchomeka kwenye tv yako itakuwa smart.

Wewe jamaa nikitaka kununu TV lazima nikutafute uwe consultant asee, maana ulielezea kuna tv zinakula umeme balaa, nitakutafuta mkuu, ntakulipa 1% ya bei ya TV ya nch 43
 
Wewe jamaa nikitaka kununu TV lazima nikutafute uwe consultant asee, maana ulielezea kuna tv zinakula umeme balaa, nitakutafuta mkuu, ntakulipa 1% ya bei ya TV ya nch 43
zinazokula umeme ni plasma, zinazidi watts 300 kwa saa. siku moja unaweza kata hata unit 6.

TV za LED ndio hazili sana umeme hasa zikionyesha rangi nyeusi.
 
kuna mtu anahitaji inch40+ priority yake ni hisence ana offer ya 39k
 
halafu mtaani wanakosea sana tv ambayo sio smart wanaita led na tv ambayo ni smart ndio wanaita smart tv. ukweli ni kwamba hata smart tv inaweza kuwa led tv sababu led ni technology tu ya kioo haina uhusiano na usmart wa tv.

TV ambazo sio smart (kama unavyoziita led) zenyewe zinafanya kazi bila operating system yoyote ya maana, hazina wifi, hazina youtube etc, hizi zinakuwa ni kama tv za kawaida ambazo tumezizoea kila siku na tumekua nazo.

smart tv zenyewe kama jina lilivyo zipo smart, zinatumia operating system kama web os, tizen, android etc na una uwezo wa kuinstall apps, zina wifi, na mambo mengine mengi.

TV ya kawaida pia unaweza ukaibadili kuwa smart tv kwa kununua HDMI dongle kama amazon fire stick au Roku au Android tv box, au Apple TV etc ukinunua hivyo vifaa na kuchomeka kwenye tv yako itakuwa smart.
Uko njema mkuu
 
halafu mtaani wanakosea sana tv ambayo sio smart wanaita led na tv ambayo ni smart ndio wanaita smart tv. ukweli ni kwamba hata smart tv inaweza kuwa led tv sababu led ni technology tu ya kioo haina uhusiano na usmart wa tv.

TV ambazo sio smart (kama unavyoziita led) zenyewe zinafanya kazi bila operating system yoyote ya maana, hazina wifi, hazina youtube etc, hizi zinakuwa ni kama tv za kawaida ambazo tumezizoea kila siku na tumekua nazo.

smart tv zenyewe kama jina lilivyo zipo smart, zinatumia operating system kama web os, tizen, android etc na una uwezo wa kuinstall apps, zina wifi, na mambo mengine mengi.

TV ya kawaida pia unaweza ukaibadili kuwa smart tv kwa kununua HDMI dongle kama amazon fire stick au Roku au Android tv box, au Apple TV etc ukinunua hivyo vifaa na kuchomeka kwenye tv yako itakuwa smart.
Leo ndo nimejua tofaut ya smart tv na led
 
halafu mtaani wanakosea sana tv ambayo sio smart wanaita led na tv ambayo ni smart ndio wanaita smart tv. ukweli ni kwamba hata smart tv inaweza kuwa led tv sababu led ni technology tu ya kioo haina uhusiano na usmart wa tv.

TV ambazo sio smart (kama unavyoziita led) zenyewe zinafanya kazi bila operating system yoyote ya maana, hazina wifi, hazina youtube etc, hizi zinakuwa ni kama tv za kawaida ambazo tumezizoea kila siku na tumekua nazo.

smart tv zenyewe kama jina lilivyo zipo smart, zinatumia operating system kama web os, tizen, android etc na una uwezo wa kuinstall apps, zina wifi, na mambo mengine mengi.

TV ya kawaida pia unaweza ukaibadili kuwa smart tv kwa kununua HDMI dongle kama amazon fire stick au Roku au Android tv box, au Apple TV etc ukinunua hivyo vifaa na kuchomeka kwenye tv yako itakuwa smart.
Asante. Hivyo vifaa bei ngapi!? Na vinafungiwa wapi na upatikanaji wake vipi!? Nina rising led inch 32 .
 
Duh huu uzi umenipa knowledge kubwa mnoo juu ya izi tv maana nilikuwa njia panda ktk kununua tv ya kuanzia mwaka 2019
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom