Flat screen used inauzwa aina y singsung nch 21 lak 2 na 60 with deki lak 3 kamili! At dodoma town.if u need it jus pm me 4 more commnctn.
Hata 30000 si itaki singsung? Kwanini isiwe sumsung? Hahahaaa chinese
Kama hutaki umejibu ya nini mnawashwaga na nini nyie
Hata 30000 si itaki singsung? Kwanini isiwe sumsung? Hahahaaa chinese
mpwa nilikua na dvd player ya singsung, miezi minne tu ilikua mingi, kwishney nikaitupa.SingSung imara sana tena bora kuliko Samsung
SINGSUNG ni product from SINGAPORE and i can bet jamaa product zao ni nzuri sana..
NNATUMIA LED SINGSUNG FLAT TV 22(Nliinunua 280,000 kariakoo) kipindi zimetoka but sasa zimepanda sana bei... Na nna dvd player mwaka wa tatu sasa...Sijawahi pata tatizo hata siku moja
mpwa nilikua na dvd player ya singsung, miezi minne tu ilikua mingi, kwishney nikaitupa.
kamata brand kama samsung, sony na LG hapo unasahau!.