Flash kusoma kwenye simu

Flash kusoma kwenye simu

MOMPRENEUR

Senior Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
193
Reaction score
127
Habari wakuu!!Nina flash ile yenye pande mbili yaani unaweza weka katika simu au hata pc...sasa nikiichomeka katika pc inasoma vizuri ila katika simu haisomi...msaada wa hili plz
 
Sio kila simu inaweza kusoma flash, unatumia simu aina gani?
 
Kwenye simu kuna kitu inaitwa OTG kwaio ingia kwenye setting andika OTG kama ukiipata hakikisha una turn on kama ukiikosa basi simu yako haisapoti flash hasa Infinix,itel,Tecno
 
Habari wakuu!!Nina flash ile yenye pande mbili yaani unaweza weka katika simu au hata pc...sasa nikiichomeka katika pc inasoma vizuri ila katika simu haisomi...msaada wa hili plz

Simu nyingi sana siku hizi zinasoma Flash. Endapo flash yako ina kichwa cha MicroUSB kama hii hapa kwenye picha. Basi kinachotakiwa ni kwamba uiFormat kwa kutumia default FAT32 ndipo itatambulika kwenye simu. Kama Flash ipo katika format ya NTFS basi kwenye computer itaonekana ila kwenye simu haitaonekana.

16443360004724036418360520595884.jpg
 
Simu nyingi sana siku hizi zinasoma Flash. Endapo flash yako ina kichwa cha MicroUSB kama hii hapa kwenye picha. Basi kinachotakiwa ni kwamba uiFormat kwa kutumia default FAT32 ndipo itatambulika kwenye simu. Kama Flash ipo katika format ya NTFS basi kwenye computer itaonekana ila kwenye simu haitaonekana.

View attachment 2112969
Unaiformat vipi mkuu??
 
Unaiformat vipi mkuu??
TAHADHARI:
Kabla hujaiformat hamisha vitu vyako muhimu Kwanza, ukishamaliza ikiwa kwenye pc right click,utaletewa option chagua format....Hapo kwenye kuformat Napo kuna option so unatakiwa uchague FAT32 hiyo options ndo itafanya flash isome kwenye simu yako.....Kama unafahamu vizuri computer sidhani kama kuformat itakuwa issue kwako.
 
Simu nyingi sana siku hizi zinasoma Flash. Endapo flash yako ina kichwa cha MicroUSB kama hii hapa kwenye picha. Basi kinachotakiwa ni kwamba uiFormat kwa kutumia default FAT32 ndipo itatambulika kwenye simu. Kama Flash ipo katika format ya NTFS basi kwenye computer itaonekana ila kwenye simu haitaonekana.

View attachment 2112969
Mimi yangu ni simu ya Huawei ya mwaka 2016 ila inasoma mifumo yote hata NTSF, na inasoma mpaka external hdd 1TB bila kuflash, na inaplay format zote za video hata mpg
 
Back
Top Bottom