Andika cdm kwenye run then enter itakuja screen ya dos, andika cd.. Mpaka ibakie neno C:// kama sikosei ila ni C na mistari tu hamna neno mbele yake, the mbele ya c na hivyo vimistari andika neno format E: kama E si flash angalia flash inaherufi gani weka then enter itakupa kupa maelezo we enter tu mpaka mwisho itamaliza. Kabla ya ku enter baada ya kaandika neno format E: na ukawa na uhakika na herufi ya flash yako chomoa flash halafu rudisha ikishasoma kwenye pc ndio bonyeza enter na maelezo ka niliyokupa