Mi kwangu sjataka mambo mengi nlinunua active subwoofer ya AR-M10 ni 10 inch carpeted boom box, magnet 20 oz, voice coil kvs 1.5 ni 4 layers, frequency 40 to 200hz, 4omhs, sensitivity 90db/m.w. kisha nikanunua used receiver ya sony na twita 4 za mtumba nikafunga kaz ni hatari narudia tn ni hatari hzo sound bar zenu hzo za milion hazsogelei hapa.