Fixed price of commodities

SrDoc

New Member
Aug 28, 2011
2
0
Kwa maoni yangu, kuondoa matatizao kwa watu wa kipato cha chini, ni kwa wahusika kusimamia bei za consummables, kwama india kwa ,mfano,,,,bei ya kila kitu in bar code na maandishi yanayoelezea kikomo cha bei na kodi yake. Hivyo muuzaki hawezi kamwe kubadilisha bei kwa kuangalia sura yako au ulivyo vaa.

Bai zisimawe tafadhali.....vinginevyo kila muuliza atauza bei yake, hata akiona kwenye tv au gazeti kuwa mishash\ara\ imeongezwa. Juingeza mshaharam kusitangazwe.....na mkulima naye anapendisha bei.....hivyo nguvu ya pesa inapinguzwa sana.
 
Kwa maoni yangu, kuondoa matatizao kwa watu wa kipato cha chini, ni kwa wahusika kusimamia bei za consummables, kwama india kwa ,mfano,,,,bei ya kila kitu in bar code na maandishi yanayoelezea kikomo cha bei na kodi yake. Hivyo muuzaki hawezi kamwe kubadilisha bei kwa kuangalia sura yako au ulivyo vaa.

Bai zisimawe tafadhali.....vinginevyo kila muuliza atauza bei yake, hata akiona kwenye tv au gazeti kuwa mishash\ara\ imeongezwa. Juingeza mshaharam kusitangazwe.....na mkulima naye anapendisha bei.....hivyo nguvu ya pesa inapinguzwa sana.

Laah naona sijaelewa hasa nini unataka kusema au kumaanisha. Ebu eleza vizuri ni nini unataka kusema?
 
Back
Top Bottom