Ni vizuri ukiweka bayana unayoweza kuyafanya kwa kiwango hicho cha fedha.. Ili nasi tusizivundike pesa zetu Bank.Huu ni uvivu wa hali ya juu, uweke bank milioni 50 kwa mwaka faida ya milion 4, wakati unauwezo wa kuweka kwenye biashara milion 5 ukapata kila mwezi milioni 1 sehe ambayo hata haijachangamka, kweli tuna mawazo tofauti, mimi leo unipe milion 20 baada ya mwaka utanishangaa
Km mzigo ulionao ni mkubwa kuanzia 12M, kubali kupata hasara kwa kuibadilisha hiyo pesa kwenda kwenye dola ya marekani, halaf fungua account ya fedha za kigeni na iingize iwe fixed, hapo hutojutia, pesa za madafu haziaminikiWapendwa I have a certain sum of money ambayo sitarajii kuitumia soon na nimefikiria kufungua fixed account niweke angalau kwa mwaka mmoja ila sijawahi fungua hiyo account before kwa hiyo kwa wale wanaojua rate of interest ya fixed account especially kwa CRDB wanieleze tafadhali
Ngoja wataalam waje
Hapo unazungumzia kuwekeza kwenye FDR au investment kwenye shares. FDR ukikubaliana na benki rate nzuri inalipa maana ni faida ya uhakika huku capital ikiwa pale pale. FDR zipo za miezi 3,6, mwaka n.k na interest zake unaweza kulipwa hata monthly kutegemea na makibaliano. Investment kwenye shares return ni dividend ambayo ni lazima kampuni ipate faida ili mpate gawio. Investment kwenye shares inataka umakini mkubwa na kufatilia kwa karibu mwenendo wa soko. Hivyo binafsi naona FDR inalipa kwa uelekeo wa uchumi wetu ambao upo kwenye reconstruction na kufanya biashara kusuasua sana. Nafikiri nimejaribu kujenga base ya mjadala zaidi.
Ni bora kuwekeza kwenye ma kampuni kuliko fixed account. kwa sababu unapo nunua hisa kwenya makampuni kuna kipindi zinapanda bei zinakua ghali hadi raha lakini fixed account itategemea na kiwango cha percent ya interest per year
NB.
Nibora uwekeze kwenye makampuni ya serikar kwa maana haya ya watu binafsi alijulikani saa ngapi litakufa:-D:-D
Mkuu, interest rate inategemea na muda unaotaka Wewe fedha yako ikae benki.Benki inayotoa Riba nzuri ktk Fixed Account ni Exim bank (8%)
CRDB bank 7.5%
Lakini benki nzuri ni Exim bank
Mkuu, interest rate inategemea na muda unaotaka Wewe fedha yako ikae benki.
Mfano, Exim Bank kwa kiasi cha <100million ktk siku 30 - 90, I/rate ni 4%; siku 90 -180, I/rate ni 5%; siku 180 to < 1yr, I/rate ni 6.5%; 1 yr ni 7.5%; >1yr ni 7%.
Sielewi kwanini muda zaidi ya mwaka 1, interest rate inakuwa 7%!
Kama ni biashara halafu una mtaji wa milion 50 then upate faida kwa mwaka milion 4 aisee ni uendawazimu uliotukuka na kutunukiwa phd kabsaKwa wenzetu wenye pesa ya Ukweli wanapata faida mfano umeweka Mil 50
Kwa mwaka unapata faida ya Mil 4.
Kwa kuwa umewaachia hela yako mda mrefu zaidiMkuu, interest rate inategemea na muda unaotaka Wewe fedha yako ikae benki.
Mfano, Exim Bank kwa kiasi cha <100million ktk siku 30 - 90, I/rate ni 4%; siku 90 -180, I/rate ni 5%; siku 180 to < 1yr, I/rate ni 6.5%; 1 yr ni 7.5%; >1yr ni 7%.
Sielewi kwanini muda zaidi ya mwaka 1, interest rate inakuwa 7%!
Naomba elimu juu ya UTT Kidogo, na naweza kuwekeza vp hapo?kwanini usiwekeze UTT..ambao hutoa riba hadi 16%
Kuhusu inflation,afanye "flat rate" ambayo kwa tz ina-vary from 1.75-3% p.a...na kwa bank,inakuwa na impact kwenye "charges" sanaHalafu atoe inflation 6.6% kama itabaki kuwa hiyo hiyo kwa mwaka.